watu walio tembelea leo

MITOTO YA GOLA HEWANI !



PICHA KUSHOTO NI KIONGOZI WA WATU WA GOLA BATAROKOTA NA KULIA NI BIG D

Kundi la muziki wa Bongo Fleva la jijini Mwanza lenye maskani yake Igoma, maarufu kwa jina la Watu wa Gola limekamirisha maandalizi ya video ya wimbo wao wa pili uitwao `mitoto ya gola`

Watu wa Gola ni kundi linaloundwa na wasanii wawili Paskal linda a.k.a Batarokota na Juma Hassan a.k.a Big D. Akionge  meneja wa Watu wa Gola linda Sangudi alisema songi Mitoto ya Gola imerekodiwa  katika studio ya M.O Records iliyopo jijini Mwanza chini ya mtarishaji Q the Don na video itafanyiwa na kampuni ya Kadide chini ya M.O. Records ambapo hadi wakati huu maandalizi yote yamekamilika .Gharama za kazi hii zimechangiwa na michango toka kwa wafadhiri mbalimbali wa jijini Mwanza wakiwemo Huruma Chirdren Centre ya Nyamhongolo na Zari Music and Entertment iliyopo Igoma jijini Mwanza ambao ndio wadhamini wakuu wa video ya wimbo `Mitoto ya Gola`.

Batarokota: Bado nipo nipo kwenye ‘Asilia’


Pichani juu kutoka kushoto msanii Batarokota akiwa na aliyekuwa kocha wa Taifa Star na Yanga African Mbrazili Maxio Maxima na kulia ni Stiini Shija akiwa katika picha ya pamoja jijini Mwanza 2007,

MKONGWE katika muziki wa Bongo Fleva na nyimbo asilia ya kitanzania , Batarokota, ameibuka na kudai kwamba muziki wa asili ya kitanzania haujamshinda hivyo ataendelea kuimba Bongo Fleva na mziki asilia kwa kuwa nyimbo zake hazipotoshi jamii.

July Movies: 6 Big Releases You Must Have This Month

The first half of the year has provided an entertaining list of movies, with the likes of The Wedding Ringer, Avengers: Age of Ultron, Mad Max: Fury Road, and Jurassic World.

TerminatorGenisys
TerminatorGenisys
The second half of the year will start off with the return of Arnold Schwarzenegger, and two Game of Thrones alums feature on the big screen.

Here are 6 major movie releases for the month of July.

Terminator Genisys (01st July)
The fifth installment welcomes Arnold Schwarzenegger back to the storyline of a complicated time-travel mission. Emilia Clarke, who portrays Daenerys on Game of Thrones, takes up the role of Sarah O’Connor.

Minions (10th July)
The yellow jelly bean-shaped evil henchmen of the Despicable Me franchise get their own big screen showing.
Minions
Minions
You may need to polish your Minionese for this one. BEE DO BEE DO BEE DO! Or just use the English alternative (Fire).

Ant Man (17th July)
Marvel’s latest offering from their Cinematic Universe presents a super hero who can shrink in size while gaining strength.
ant man movie 2015
ant man movie 2015

Trainwreck (17th July)
Comedian Amy Schumer, Bill Hader, John Cena and LeBron James feature in this comedy about a commitment-phobic career woman who has to confront her fears.
Trainwreck
Trainwreck

Pixels (24th July)
Adam Sandler and Peter Dinklage (Game of Thrones’ Tyrion Lannister) star in this comedy combining Aliens and 1980s video games.
pixels-poster

Mission Impossible: Rogue Nation (31st July)
Tom Cruise reprises his popular spy role for another death defying “Mission Impossible” sequel.

Tom cruise returns in this epic sequel
Tom cruise returns in this epic sequel

Juma Nature awaasa waliotangaza nia


Msanii Juma Nature. 

Dar es Salaam. Msanii Juma Nature, ametoa rai kwa wasanii waliotangaza nia kuwania viti mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao, akiwataka kusimama kwenye misingi ya kusaidia jamii badala na si vinginevyo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Nature ambaye mapema mwaka huu alifuta msimamo wake wa kutaka kugombea ubunge Jimbo la Temeke alioutangaza miaka mitatu iliyopita, alisema kwamba ni vyema wasanii wanaosaka nafasi za kisiasa kuzingatia watakayotakiwa kufanya kwa mujibu wa nafasi hizo za uwakilishi.
Nature alisema ni muhimu kufuata matakwa ya wananchi watakaowaongoza na kuacha kuweka mbele tamaa ya fedha kwa kuwa hayo siyo malengo ya uongozi wa kijamii bali huduma kwa wananchi.
“Kama wanaingia kwa ajili ya kwenda kwenye ubunge ni sawa, kwani wao ni watunzi wazuri wa zamani na uandishi wao upo kwenye jamii, lakini wasiende wakifikiria uongozi kuwa sehemu ya kujipatia fedha. Wawe karibu na wananchi watakaowaongoza kwa sababu hiyo ndiyo iliyo chini yao na inawategemea,” alisema Nature.
Kwa mujibu wa Nature ameamua kukaa pembeni kwa muda kutokana na utitiri wa wasanii walioweka wazi dhamira zao za kujiingiza katika siasa mwaka huu.
Alisema wazo hilo alilokuwa nalo muda mrefu, ameamua kujipa muda hadi ifikapo mwaka 2020 ili kuwaacha waliotangaza nia sasa kuendeleza mchakato huo.
“Mwenyezi Mungu akipenda ni tagombea mwaka 2020, nimeamua kwa mwaka huu niache mambo haya kwanza. Sasa nina kazi nyingi. Pili wasanii wengi wameshajitokeza, inatosha sana. Tusubiri tuone kwamba watafanya nini, ndipo na sisi tutaona nini tunafanya,” alisema Nature akiongeza kuwa kwa sasa yupo katika matengenezo ya video ya “Inaniuma Sana Remix” aliyomshirikisha Msaga Sumu.

2015 Africa Music Awards Nominees.


MTV Africa released the list of nominees for the 2015 MTV Africa Music Awards (MAMA), and Togolese group Toofan, author of the hit Gweta, leads the field with four nods: Best Collaboration, Best Live Act, Best Francophone, and Song Of The Year. Nigerian afrobeats star Davido is close behind with three nominations, including Best Male, Best Collaboration, and Video Of The Year for his track called The Sound featuring Uhuru & DJ Buckz. Nigerian artist Wizkid follows, notching nominations for Best Male and Song Of The Year for the single Show Me The Money.

A symbolic date

The awards ceremony will take place on Saturday, July 18th 2015 in Durban, South Africa. It will coincide with Nelson Mandela’s birthday. This year’s edition will mark the 5th anniversary of a show that recognizes contemporary artists from all over the African continent. A total of 70 nominees across 13 different categories were announced. Nominees for the MTV Base Leadership Award and the Best International Act will be disclosed at a later date. Fans can vote on the MTV Africa Music Awards website.
toofan-award


Btv34z3IEAIh5yy
Here is the list of nominees:
Best Male
AKA (South Africa)
Davido (Nigeria)
Diamond (Tanzania)
Sarkodie (Ghana)
Wizkid (Nigeria)
Best Female
Bucie (South Africa)
Busiswa (South Africa)
Seyi Shay (Nigeria)
Vanessa Mdee (Tanzania)
Yemi Alade (Nigeria)
Best Group
B4 (Angola)
Beatenberg (South Africa)
Black Motion (South Africa)
P-Square (Nigeria)
Sauti Sol (Kenya)
Best New Act
Anna Joyce (Angola)
Cassper Nyovest (South Africa)
Duncan (South Africa)
Patoranking (Nigeria)
Stonebwoy (Ghana)
Best Hip Hop 
Cassper Nyovest (South Africa)
K.O. (South Africa)
Phyno (Nigeria)
Olamide (Nigeria)
Youssoupha (DRC)
Best Collaboration
AKA, Burna Boy, Da LES & JR: “All Eyes On Me” (SA/Nigeria)
Davido featuring Uhuru & DJ Buckz: “The Sound” (Nigeria/SA)
Diamond & Iyanya: “Bum Bum” (Kenya/Nigeria)
Toofan & DJ Arafat: “Apero Remix” (Togo/Ivory Coast)
Stanley Enow & Sarkodie: “Njama Njama Cow Remix” (Cameroon/Ghana)
Song of the Year
Cassper Nyovest: “Doc Shebeleza” (South Africa)
Euphonik featuring Mpumi: “Busa” (South Africa)
DJ Fisherman & NaakMusiQ featuring DJ Tira, Danger & Dream Team: “Call Out” (South Africa)
K.O featuring Kid X: “Caracara” (South Africa)
Lil Kesh Featuring Olamide & Davido: “Shoki Remix” (Nigeria)
Mavins: “Dorobucci” (Nigeria)
Sauti Sol: “Sura Yako” (Kenya)
Toofan: “Gweta” (Togo)
Wizkid: “Show You The Money” (Nigeria)
Yemi Alade: “Johnny” (Nigeria)
Best Live Act
Big Nuz (South Africa)
Diamond (Tanzania)
Flavour (Nigeria)
Mi Casa (South Africa)
Toofan (Togo)
Video of the Year
“Crazy” – Seyi Shay Featuring Wizkid; Director: Meji Alabi
“Doors” – Prime Circle; Director: Ryan Kruger
“Love You Everyday” – Bebe Cool; Director: Clarence Peters
“Nafukwa” – Riky Rick; Director: Adriaan Louw
“The Sound” – Davido Featuring Uhuru & DJ Buckz; Director: Sesan
Best Pop & Alternative 
Fuse ODG (Ghana)
Jeremy Loops (South Africa)
Jimmy Nevis (South Africa)
Nneka (Nigeria)
Prime Circle (South Africa)
Best Francophone
DJ Arafat (Ivory Coast)
Jovi (Cameroon)
Laurette Le Pearle (DRC)
Tour 2 Garde (Ivory Coast)
Toofan (Togo)
Best Lusophone
Ary (Angola)
B4 (Angola)
Nelson Freitas (Cape Verde)
NGA (Angola)
Yuri Da Cunha (Angola)
Personality of the Year
Basketmouth (Nigeria)
Bonang Matheba (South Africa)
OC Ukeje (Nigeria)
Trevor Noah (South Africa)
Yaya Toure (Ivory Coast)


Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba


Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba
tuma matangazo yako kwa barua pepe:mtumishilinda@gmail.com
Ishu ya  Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti.

Wema ambaye pia ni muigizaji wa filamu, awali alisema sababu kubwa ya kutopata ujauzito ni masuala ya kiafya lakini safari hii ametoa kauli tata ambayo inahusiana na imani za nguvu za giza.

Wema ambaye alifunguka hayo hivi karibuni, anadai kuwa yawezekana marehemu Steven Kanumba anahusika kwenye suala hilo.
“Unajua hili suala la mtoto linanisumbua sana yaani na linaniuma kwa sababu napenda watoto sana na pia napenda kuitwa mama, nimehangaika sana katika kuhakikisha nafanikiwa katika hili lakini ndiyo hivyo imeshindikana.
“Serious! Ilifika kipindi yaani nilikuwa nachukia nilipokuwa nikiziona siku zangu, nilikuwa sipendi kukutana na hiyo hali kwa sababu naumia sana lakini ndiyo hivyo baada ya kuhangaika sana inabidi nimwachie Mungu tu. Nahisi kukata tamaa lakini bado sijakata tamaa.

“Watu wananiambia mimi bado mdogo kwa hiyo sitakiwi kuwa na wasiwasi sana ila muda unakwenda, sasa nina miaka 27. Niliwahi kupata mimba mwaka 2008, aliyenipa alikuwa marehemu Kanumba, lakini baadaye ilitoka na aliposikia hivyo (Kanumba) alikasirika kwa kweli.

“Lakini baadaye ikawa kawaida, hata nilipokuja kuachana naye, bado alikuwa rafiki yangu na tulikuwa tunaongea vizuri na kupigiana simu kama kawaida ila alikuwa ananiambia ‘unajua una deni, nakudai watoto wangu na nitafanya juu chini ili unilipe’.

“Basi ikawa kawaida yake kuniambia hivyo, wiki chache kabla ya kufariki aliniomba tuonane lakini haikuwezekana kutokana na ratiba zetu kutofautiana.

“Kuna muda huwa nafikiri au mizimu yake inahusika katika hii ishu! (anacheka sana).

“Unajua ile mimba ya Kanumba hata mimi sikuwa tayari kupata mtoto wakati ule, niliona ndiyo kwanza naingia kwenye mapenzi halafu ndiyo nimetoka kuwa miss tu, sasa itakuwaje, lakini huwezi jua labda pengine kwenye ‘abortion’ walivuruga baadhi ya vitu ndiyo maana mpaka leo imekuwa hivi.”

Kanye West sort ses nouvelles Yeezy Boost 350 en partenariat avec Adidas : découvrez-les !


Kanye West, Yeezus Sneaker
Kanye West, Yeezus Sneaker adidasOriginals, Getty Images
Que les fans de Yeezus se réjouissent : les Yeezy Boost 350 sont là ! (Enfin, presque.)
Les sneakers au joli côté monochrome font partie de la Yeezy Season, la collaboration de Kanye West avec Adidas Originals, et fait suite à la première sneaker du rappeur qui était une version haute. L'avantage de ses chaussures réside aussi dans le fait qu'elles ont un effet seconde peau, étant donné qu'elles sont constituées de matériaux ultra-légers et qu'elles sont le fruit des dernières innovations techniques de la marque aux trois bandes.
Quant au prix, il n'est pas si mal : vous pourrez en effet vous acheter une paire pour 200 dollars (environ 180 euros) à partir du 27 juin.
PHOTOS : revoyez Kanye West au fil des ans
Sean 'Diddy' Combs, Jay-Z, Beyonce, Kim Kardashian, Anna Wintour, Hailey Baldwin, NYFW Fernanda Calfat/Getty Images for adidas
Vous vous souvenez peut-être que Kanye a fait ses débuts à la Fashion Week de New York en février dernier. Le nombre de stars présentes était assez impressionnant : Jay Z, Beyoncé, Sean "Diddy" Combs, sa femme Kim Kardashian (avec l'adorable quoiqu'un peu turbulente North West) et, bien évidemment, Anna Wintour de Vogue, étaient quelques-uns des grands noms présents ce jour-là.
Kim Kardashian, North West, Kanye West, NYFW Gary Gershoff/WireImage

Rachel Njingo: Niko shule ndomana nipo taratibu1

Nyota wa bongo movies nchini Tanzania  Rachel Njingo ambaye aliwahi kuvuma na filamu ya “Carithalita”  aliongea na Rashindy Omari  katika kipindi cha Best Movies In Africa na kumueleza sababu zilizopelekea kuwa kimya kwenye tasnia ya muziki wa Bongo movies mara kwa mara.


Akizungumza kwenye Best Movies in Africa  ya BMA FM alisema;
“Of course nipo kimya kwa sababu niko masomoni Dodoma ila mitindo nafanya kama kawaida siku za wiki end hata filamu hivyo hivyo naweza nikawa kimya kwenye media lakini kazi zangu bado zinatambulika nje na ndani ya nchi kwa hiyo bado nafanya, lakini kitu ambacho naweza sema kwanini niko busy sasa hivi niliamua kuwa bize na shule.”
“Kwa hiyo pamoja huku nasoma pia nina filamu mpya siwezi kuuzungumzia ila bado upo katika matayarisho yaani studio,” aliongeza

Sheria Ngowi Kuzindua Kiwanda Chake,


DSCN2838[1]
Team Up date Sarah akipiga stories na Mbunifu wa mavazi kutoka Tanzania Sheria Ngowi

Ukisikia jina la Sheria Ngowi, sio jina geni masikioni mwako, ni kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 32 tu, ni mbunifu wa mavazi nchini Tanzania, mwenye mafanikio makubwa sana katika tasnia hii, akiwa ameleta mwanga na kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia ubunifu wake wa mavazi.

Sheria Ngowi ni kijana ambaye, mara chache sana unaweza ukakutana nae sehemu zile za bata, bars, night clubs, muda mwingi hutumia nyumbani na kazini, saa 4:00 ofisini hadi saa 4:00 usiku.

Akipiga stories na #Teamupdate wa teamtz.com , Sheria Ngowi ameongea vitu vingi ambavyo ni vizuri kwa kijana yeyote ambaye angependa kufanikiwa katika maisha yake.
Stories hii tunaiita Sheria Ngowi Part I, kila siku tutaendelea nae akiwa anafunguka vitu vingi kuhusu maisha yake na vitu mbalimbali ambavyo vitakujenga kimawazo uwe kijana, mzee au mtoto.


Akipiga stories na teamtz.com Sheria Ngowi ameongelea kuhusu kujenga kiwanda chake huko Bagamoyo jijini Dar es salaam, kufungua Sheria Ngowi TV ambayo itakuwa ikionyesha fashion and life style na channel ya Sheria. Ikianza kwa online na baadae kuwa TV rasmi ambayo itakuwa ikipatikana kwenye ving’amuzi.


Pia magari ya kubebea maharusi yanakuja, vile vile watahama kutoka Masaki watahamia kwenye Makao Makuu ya bidhaa zake (brand hq) atakapopata sehemu na mipango mengine mingi inakuja.


Alipoulizwa alipataje fursa ya kuwavalisha Marais mbalimbali, Sheria Ngowi alisema “hiyo ipo private kidogo, ila unajua kizuri kinajiuza na ni ubora tu wa kazi, bidii, tabia njema na kujiheshimu ndo siri ya mafanikio yote hayo”,


Kuhusu ni mbunifu gani ndani ya Tanzania au nje ya Tanzania maybe angependa kufanya nae kazi, Sheria Ngowi amesema ni yeyote Yule ambaye anajiamini. Akimuongelea mwanamitindo Millen Magese na Flaviana Matata amesema wale ni watu ambao wanajianadaa, wanajiamini ndo maana wamefika hapo walipo, amesema kwa hawa ambao wapo hapa nyumbani hawana tofauti kubwa sana, tofauti yao ni kujiamini na kujielezea na kujituma sana muda wao wote wameweka kwenye kile wanachokifanya kwa sababu ile ndiyo ajira yao, hakuna kitu kingine hiyo ndio siri.



Mwaka jana alimvalisha Diamond kwenye tuzo za MTV, Je utaratibu unakuwaje labda msanii akitaka amvalishe? “utaratibu ni kama utaratibu mwingine, ni mtu binafsi kujiamini, mtu binafsi kujua nini anachokitaka, mtu binafsi kujua kwamba yuko tayari kubadilika, anajijua” alisema Sheria Ngowi.

JK, BABU SEYA KUONANA USO KWA USO


Nguza Vicking Babu Seya,(kulia) na Mtoto wake Papii Nguza,wakiwa wamekaa katika viti vya Mahakama ya Rufaa Dar es Salaam walipofikishwa kusikiliza rufaa yao jana.(Picha na Yusuf BADI)).Nguza Vicking Babu Seya, (kulia) na Mtoto wake Papii Nguza.
Haruni Sanchawa
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, leo katika Viwanja vya Chuo cha Magereza ya Ukonga jijini Dar, ana ratiba ya kuzungumza na maafande na maafisa wa jeshi la magereza na wafungwa katika Siku ya Magereza Tanzania 2015 ambayo huadhimishwa kila mwaka.
1-9Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kikwete.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani ya jeshi hilo, pia Rais Kikwete atatumia nafasi hiyo kuliaga jeshi hilo kwa vile Oktoba, mwaka huu, nchi itamchagua rais atakayepokea kijiti chake cha urais kwa awamu ya tano.
Msingi wa habari hii ni wafungwa wanaotumikia kifungo cha maisha jela kwa makosa ya ulawiti na ubakaji, wanamuziki Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kwani katika hafla kama hiyo, mwaka jana, walimtumia salamu JK wakimwomba awasamehe kwani walishatambua makosa yao.
babu+seya+px
Risasi Jumamosi: “Je, rais hawezi kuitumia nafasi hiyo kuwaachia huru wanamuziki, Nguza Vicking na mwanaye, ‘Papii Kocha’ ambao wanatumikia kifungo cha maisha jela?”
Chanzo: “Mh! Sina hakika sana. Maana kama hilo lipo ina maana ni jukumu la rais mwenyewe na mipango yake kwa mujibu wa katiba, rais ana mamlaka ya kumsamehe mfungwa kwa kosa lolote lile.”
KUHUSU WARAKA
Risasi Jumamosi: “Juni mwaka jana wakati wa maadhimisho kama hayo, mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe, Babu Seya na Papii walimuomba Rais Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya ambapo waziri, katika kuwajibu alisema mtu akishatumikia kifungo kwa miaka saba au 10 gerezani ana hakika kama ana moyo na nafasi ya kuacha, atakuwa amebadilika hivyo anaweza kupewa msamaha. Je, rais hawezi kutumia mwanya huo?”
Chanzo: “Sijui. Unajua haya mambo ya msamaha ni ya kiitifaki zaidi. Hawezi kila mtu kujua zaidi ya yeye anayekusudia kusamehe.”
JK, BABU SEYA KUONANA
Kwa mujibu wa chanzo kingine, JK anaweza kuonana na Babu Seya moja kwa moja kwani huenda wafungwa hao watatumbuiza kwenye hafla hiyo kama ilivyokuwa mwaka jana ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri Chikawe.
VIONGOZI WA MAGEREZA WANENA
Baada ya kunyetishiwa hayo na chanzo chetu hicho, Risasi Jumamosi lilimtafuta Afisa Habari wa Jeshi la Magereza Makao Makuu Tanzania, ASP Lucas Mbonje na kumuuliza kuhusu JK kufika kwenye Gereza la Ukonga leo na kuaga jeshi hilo na kuonana na wafungwa, akiwemo Babu Seya na mwanaye, Papii Kocha ambapo alisema:
“Mimi nipo safarini, hiyo ziara ya rais naijua, ni kwenye Siku ya Magereza, lakini mpigie mrakibu wa magereza, anaitwa SP Edwin Kisiluka.”
MRAKIBU SASA
Risasi Jumamosi lilimtafuta mrakibu huyo na kuzungumza naye kuhusu uwepo wa Rais Kikwete kwenye sherehe ya Siku ya Magereza ambapo alisema:
“Ni kweli, kwa ratiba yetu, Rais Kikwete ndiye mgeni rasmi. Tutakuwa naye. Mbali na hilo, Magereza Day kuna maafisa wa cheo cha inspekta watapandishwa vyeo na kuwa ma-ASP.”
“Vipi, unajua lolote kuhusu rais kuitumia nafasi hiyo kuwaachia huru Babu Seya na mwanaye?”
Mrakibu: “Hilo silijui mimi. Ila ratiba ya shughuli yetu ni hiyo niliyokupa.”
WAKATI HUOHUO
Hali ya kiafya ya Papii Kocha inadaiwa kwenda halijojo gerezani humo akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kifua.
Kwa mujibu wa chanzo, Papii alianza kuumwa mwanzoni mwa mwaka huu hivyo kudhoofika sana na mpaka sasa anaendelea na matibabu.
“Jamani mimi nilikuwa kule kwa miaka kadhaa. Yaani nilifungwa. Papii Kocha anaumwa kifua. Amedhoofika sana. Lakini bado anaendelea na matibabu,” kilisema chanzo hicho hivi karibuni.
Babu Seya na Papii walihukumiwa kifungo cha maisha mwaka 2004 hivyo mwaka huu wametimiza miaka 11 jela.

Batarokota : Sitakurupuka Kugombea Udiwani!


Pichani kutoka kushoto msanii Batarokoa, aliyekuwa kocha wa Taifa staa Maxio Maxino na Stevini Shija meneja kampeni wa Batarokoa
Tembelea : www.batarokota.blogspot.com
Staa wa Bongo Bongo fleva na nyimbo za asili ya kitanzania  na aliyeingia kwenye tuzo za KTMA 2014 katika katengoli ya Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Kitanzania, Paskal Linda Mgundu ‘Batarokota’ ambaye mwezi julai atatangaza nia yake ya kugombe udiwani mwaka huu wa uchaguzi amedai kua hatakurupuka kuutaka udiwani kupitia kata ya Tungi  mkoani Morogoro na kuwa ataendeleza sanaa hata akiwa diwani.
Akizungumza na Kiss fm jijini Nairobi jana alisema..’Kwanza ninataka kuwahakikishia washabiki wangu sitakurupuka, nimekuwa  mwanachama wa chama cha Mapinduzi  umoja wa vijana almost miaka 5  lakini vilevile nimekuwa kamanda wa vijana miaka 1 tawi la gome ya ushindi , nimekuwa mwamasishaji  wa chama cha mapinduzi kwa nyimbo na sanaa kwa muda mrefu.
Kwa hiyo nataka kusema sitakurupuka na wala sitatamkia sifa kwasababu labda nimeona mtu Fulani amegombea na mimi basi tu  nigombee hapana  nimeona  katika kata yangu ya  tungi kuna matatizo kadhaa  nani anaweza kuyatetea hayo matatiizo  basi mimi ndio nitakuwa mtetezi wa kata pamoja na matatizo ya wasanii wetu, kuhusu kazi zangu za mziki asili na bongo fleva nitakuwa nafanya kama kawaida huku nikiwa natumikia kazi za udiwani’alisema

Bongo Actress And Singer They Should Learn Something From Zari!!!!



Sometime if you want's to remain loyal from your fans you need to do thanks giving fro appreciating whats people made you to be like the way your (superstar), Charity is the foundation for any successful person to come closer to society and this doesn't happen in africa entertainment industries.
We take this event of zari as example happened in Uganda why not in Tanzania and we have a lot of celebrity with many achievement they need to learn something!!.









DAVIDO AZINDUA MRADI WA NGUO


 
Lagos, Nigeria
MWIMBAJI Davido wa Nigeria amezindua mradi wa kuuza nguo ili kushindana na wauza nguo wengine nchini humo. Mwanamuziki huyo ameungana na makundi mengine ya wasanii na waendesha burudani ambao wamejikita katika mauzo ya nguo ili kuongeza vipato vyao mbali na muziki.
 
Moja ya aina ya nguo aliyozindua Davido.
Aina ya nguo alizozindua ni T-shirts ambazo amezipa jina la O.B.O.T.  Hii ni katika kutekeleza mafanikio yake ambayo ni pamoja na kuhitimu chuoni, kupata mtoto na kuzidi kujiimarisha katika muziki.

HAFLA YA MIAKA 2 YA KUTAWAZWA KWA POPE FRANCIS KUWA KIONGOZI WA KANISA KATOLIKI DUNIANI


 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla qkihutubia kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Mabalozi na viongozi mbalimbali  kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe akiongea  kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Sehemu ya maaskofu  kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisoma hotuba yake  kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akigonganisha glasi na Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla na Muadhama kardinali Polycarp Pengo kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani  jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akigonganisha glasi na Kiongozi wa Mabalozi nchini na Balozi wa DRC Mhe. Asumani Mpango pamoja na Mhe Membe na Rais wa baraza la Maskofo wa Kikatoliki Tanzania (TEC) Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa  kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Meza Kuu ikishereherekea miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki duniani
 
Meza Kuu wakati wa hafla hiyo
 
Rais Kikwete akiongea   na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Waziri Membe akimtambulisha Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla kwa Kaimu Mufti wa Tanzania Sheikh abubakar Zubeiry aliyealikwa kwenye sherehe hizo
 
rais Kikwete, Waziri Membe,  Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla na  Kaimu Mufti wa Tanzania Sheikh abubakar Zubeiry kwenye sherehe hizo
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na watawa  baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na watawa  baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam
 
Rais Kikwete akisalimiana  na Mabalozi  na viongozi wengine kwenye  sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam.
PICHA NA IKULU