Pichani kutoka kushoto msanii Batarokoa, aliyekuwa kocha wa Taifa staa Maxio Maxino na Stevini Shija meneja kampeni wa Batarokoa |
---|
Tembelea : www.batarokota.blogspot.com |
Akizungumza na Kiss fm jijini Nairobi jana alisema..’Kwanza ninataka kuwahakikishia washabiki wangu sitakurupuka, nimekuwa mwanachama wa chama cha Mapinduzi umoja wa vijana almost miaka 5 lakini vilevile nimekuwa kamanda wa vijana miaka 1 tawi la gome ya ushindi , nimekuwa mwamasishaji wa chama cha mapinduzi kwa nyimbo na sanaa kwa muda mrefu.
Kwa hiyo nataka kusema sitakurupuka na wala sitatamkia sifa kwasababu labda nimeona mtu Fulani amegombea na mimi basi tu nigombee hapana nimeona katika kata yangu ya tungi kuna matatizo kadhaa nani anaweza kuyatetea hayo matatiizo basi mimi ndio nitakuwa mtetezi wa kata pamoja na matatizo ya wasanii wetu, kuhusu kazi zangu za mziki asili na bongo fleva nitakuwa nafanya kama kawaida huku nikiwa natumikia kazi za udiwani’alisema