
tembelea |
---|
Tembelea : www.batarokota.blogspot.com |
Wema ameiambia blog hii kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuifanya filamu hiyo iwe ya kimataifa zaidi.
“Atakuja atakaa kama for three weeks, tutafanya audition, kwasababu tunataka kufanya movie ambayo itakuwa ni straight English. Tutaweka subtitles za Kiswahili lakini tutakuwa tunaongea lugha ya Kiingereza,” alisema Wema.
“Lengo ni kuwa international, kutoka na soko la nyumbani.”