watu walio tembelea leo

Rachel Njingo Anahita Msaada Wako wa Hali na Mali


Hans Aggrey's photo. 

Slide Entertainment present Rachael Njingo
rachelnjingo@gmail.com
Usanii ni kioo cha jamii . Naamini kama kijana nina uwezo wa kutumikia vijana wenzangu, mama na baba zangu na nchi yangu kwa ujumla. Hili jukumu langu na letu sote.

Nimeamua kwa dhati kuingia kwa dhati katika sanaa ya filamu,mitindo na mziki kwa kuwa na kipaji nilicho pewa na Mungu .

Ili nifanikiwe katika hili nahitaji mchango wenu wa mawazo, hali na mali. Najua kila mmoja ana mchango wake katika kulifanikisha hili ili niinuke kimataifa zaidi na kutangaza nchi yangu Tanzania popote Ulimwenguni kupitia sanaa.
Naomba nitumie nafasi hii kuwaombeni wote michango yenu bila kujali itikadi, jinsia, umri au kigezo chochote. Mchango wako wowote utananisogeza karibu kufikia lengo langu.
Tafadhali kwa anayependa kuchangia anaweza kutuma mchango kupitia baruapepe: rachelnjingo@gmail.com 
ambayo niyangu binafsi... Asanteni sana...
Rachel on instagram

Je Ungependa kumjua zaidi Rachel Njingo ?
Tembelea :http://rachelnjingo.blogspot.com/

Rachel Njingo Anahita Msaada Wako wa Hali na Mali

Pichani wasanii wa Bongo movies Rachel Njingo kushoto akiwa na Wema Sepetu kulia.