
Nasseb “diamond” Abdul na Vanessa Mdee wataiwakilisha Tanzania mwaka huu, Plutnums ametajwa kuwania vipengele vitatu wakati Vanessa atawania kipengele kimoja.
Tuzo hizo zimepangwa kufanyika jumamosi ya July 18 mwaka huu. Tazama orodha nzima hapo chini.
Best Male:
AKA (South Africa), Davido (Nigeria), Diamond (Tanzania), Sarkodie (Ghana) and Wizkid (Nigeria)
Best Female:
Bucie (South Africa), Busiswa (South Africa), Seyi Shay (Nigeria), Vanessa Mdee (Tanzania), and Yemi Alade (Nigeria)
Best Group:
B4 (Angola), Beatenberg (South Africa), Black Motion (South Africa), P-Square (Nigeria) and Sauti Sol (Kenya)
Best New Act Transformed by Absolut:
Anna Joyce (Angola), Cassper Nyovest (South Africa), Duncan (South Africa), Patoranking (Nigeria) and Stonebwoy (Ghana)
Best Hip Hop:
Cassper Nyovest (South Africa), K.O. (South Africa), Phyno (Nigeria), Olamide (Nigeria) and Youssoupha (DRC)
Best Collaboration: AKA, Burna Boy, Da LES & JR: “All Eyes On Me” (SA/Nigeria), Davido featuring Uhuru & DJ Buckz: “The Sound” (Nigeria/SA), Diamond & Iyanya: “Bum Bum” (Kenya/Nigeria) , Toofan & DJ Arafat: “Apero Remix” (Togo/Ivory Coast) and Stanley Enow & Sarkodie: “Njama Njama Cow Remix” (Cameroon/Ghana)