Staa wa Bongo fleva na mziki wa asili ya Kitanzania Batarokota

Batarokota akerwa na Uadui Kwenye Sanaa |
---|
“Kiukweli kwenye sanaa tumeanza kwenda kwenye njia mbaya sana,aina hii ya ushabiki wa mtindo wa uadui itatupeleka pabaya sana..Mashabiki wa Ali Kiba , Wema sepetu na Diamond wanapaswa kuliona mapema tatizo hili,” alisema mkali huyo wa bongo fleva na nyimbo asili Batarokota.
Aidha , Batarokota amewaomba mashabiki wake kujiandaa kuipokea nyimbo yake mpya ya ccm ju ambapo ndani ya songi hiyo amewashirikisha na wasanii L.L. J kutoka Rwanda na Castol kutoka DRS, “Ni songi kali sana itakayowavunja mbavu na kuwafundisha naomba muinunue itakapotoka”.